Pages

Ads 468x60px

Labels

Featured Posts

Monday 22 April 2013

SAYATI YA MOON NA MATOKEO YAKE

                        Moon au mwezi au chandra ni sateliti ya asili katika soler syestem pia nisayari mama katika mlolongo wa sayari 9 za kinajimu.

   mwezi ni mfumo wa kitovu na tumbo katika mfumo wa mwili wetu pia mwezi.Sayari hii ni baridi na tulivu na asili yake ni bahari na maji na ina rangi nyeupe na tulivu. Sayari hii huchukua siku 21/2 kutembekea kila nyota ktk nyota 12 na huchukua siku 28 kimaliza ishara zote.pia hukaa kwenye kila kituo au constellation au manzili siku 13 kwa kila manzilina hukaa siku 360 kumaliza manzili zote 27 mpaka 28.Na hukaa siku 4 kwa kila pada moja ya kituo alichopa.

        Sayari hii huu usika na bahari,maji,ni mama na ni malkia wa sayari zote huu sika na akili kupevuka kukua kitunza ridhiki ,rutuba,hisia za akili  hutoa nguvu kihisia na kiakili na hukuza nishati iliyo wekwa na sun .moon hutawala hedhi  mayai ya uzazi na maji maji yetu ya mwilini uzazi ,utasa anemia,homa magonjwa ya mapafu.

           Sayari hii huu  usika pia na chakula maji nyumbani wazazi wakubwa wa familia utukufu rasilimali mapambo hoteli fadha majukumu ya nyumba mafanikio ya uongozi wanawake kuwa na nguvu elimu yenye kuzunguka.

        Sayari hii hutoa sumu mbaya ya sayari zingine huyu ndiyo husapoti ndoto na bahati yako na safari zako na hutupa uhai kwani maji ni uhai na niulezi kwani .sayari hii ni mama yetu baada ya bwana jua kutujanga mwezi unatulea kusapoti nishati ya jua

         Sayari hii ni ya watu wanyota ya cancer au kaa waliozaliwa tarehe juni 22 na julai 22 na watu walozaliwa tarehe 2,11,20na 29 ya mwezi wowote na watu waliozaliwa mwezi februalyn na watu wenye herufi za b,k,t au watu wenye mlima wa moon au mchangano mzuri wa moon ktk kiganja ni mlima uliopo chini kabisa ya kidole kidogo chini kabisa au watu walio na maumbile ya maji au kaa au moon.

           Sayari hii huweza kusaidia kila mtu ikiwa ni rafiki ata kupa manu faa ikiwa ni adui atakudhuru na ana weza kuwa katikwakati

                         UHUSIANO WA MOON NA SAYARI ZINGINE

Moon rafiki ni 1 .Sun; huleta mafanikio ya kikazi hukupa mji wako mwenyewe 

                             humpa mume mke au hupa mtu faida za biashara na mafanikio ya uongozi wake na biashara zake baba kuwa karibu na familia yake nafaida kubwa na ujenzi wa mji.

                        2.Mercury;humpa mtu safari za masomo na biashara mtu kuwa maarufu kwa taaluma yake biashara kuzaa matunda ,kufaulu mitihani kusaisiwa na mtu mkubwa kupata msaada wa jabo lako pia hata elimu na ukubwa.

  Moon maadui ni .1 Venus;hutoa madhara kwenye biashara maradhi kwa watoto kuvurugika kimapato na mategemeo japo bado hutoa utajiri pia kutokufanyikkisha matumizi mazuri ya familia

                          2;Saturn;hutoa mikwamo ya kimaisha  kimali kufirisika na kutokuwa na maendeleo jengo lako kukwama na kusimamishwa kazi ridhiki ya tabu kusimamishwa kazi na kutopata safari na kazi.

                       3 ;Mercuri hasi;hutoa maradhi kwa mama kuuguza familia na wazazi mke au watoto kudhulumika  .

                     4;Kethu au pluto hutoa hasara ya mapenzi wazazi kutengana kufukuzwa kazi na ufalme kuanguka familia kukosa malezi bora kwa baba au wazazi lawama za wazee juu yako nk.

Moon neutro ni 1;Mars hutoa mali utafutaji uzazi mimba mali na ustawi na mafanyikio ya kimaisha.

                          2;Jupiter hutoa safari za kielimu na kazi na ukarimu na utulivu nautowaji sadaka msaada wa mungu na malengo kutimia.pia hutoa maradhi ya kinyota na uzazi kama tumbo nk.

                        3;Venus chanya hutoa mali fadha mikopo utunzaji matumaini mapy baada ya dhiki mipango mipyaa kurudishwa kazini kufikiriwa upya

                      4;saturn hasi hutoa ndoa mapenzi hisia na kuhusiana na ndugu jamaa au mke pa ni wakati wa raha.

                      5;Rahu huleta faida na mapenzi mapya.

                   MARADHI YA MOON KINYOTA

      Moon ana weza kuwa na maradhi anapo kutana na jupiter au kethu au sayari adui hupata . Baridi kichomi magonjwa ya kifua mafigo tumbo hedhi  uteras mania mwendo macho kwa wanawake au jichola kushoto kwa wanaume au kuongezeka kwa dosha kapha na pita kiasi na kupungua ka dasha vata na vidonda vy tumbo na asidi na gesi na miguu ganzi na mikono pi chango la kike au kiume. 

                      ZIADA KUHUSU MOON

                                      siku yake ni jumatatu mchana naalhamisi usiku

                                             rangi yake ni nyeupe lain au hariri

                                                mafushi yake ni ubani maka

                                                   jiwe lake ni lulu

                                                     madini ni fedha

                                                        mwelekeo ni kaskazini mashariki

                                                        jina lake ni ya arhamani ya al rahiim

                                                           kikristo salam malia......

                                                              malaika wake ni jibril au gabriely

          

Sunday 21 April 2013

SAYARI YA SUN

  Leo tuta ongelea sayari ya SUN au jua au surya ni sayari baba katika mlolongo wasayari zote ktk unajimu .sun ni moto na ni moyo wa mfumo wa soler syestem .Kwani sun hupeleka nishati kwenye sayari zote na moyo hupeleka nmishipa na damu kwenye sehemu zote zamwili najua hukimbia kwa kila nukta na nyuzi kwa kila sekunde na moyo hupiga kwa kila sekunde.
             Sun huchukuwa  siku 360 kukamilisha mzunguko wa nyota zote 12 na hukaa ktk kili nyota siku 29 mpaka 30 kutokana na mwandamo.Narangi yake ni ya machungwa au gold au njano kali iliyi iva upande wake ni mashariki sayari ni ya kiume .
        sayari hii inahusiana na nguvu kubwa  moyo nishati kiburi ujasiri na bahati kwa kila mmoja safari za utafutaji kwa wanaume,utajiri,ufalme,utu hekima na mafanyikio ,ni wafalme,viongozi baba ,wasanii,jeweres, jeshi kubwa,humfanya mtu mshindi ktkt maisha yote kama hata asilika na nishati mbaya ya sayari adui.Uwezo mkubwa wa akilli na hisia za kweli na majukumu juu ya wengine.
       Iwapo sayari hii ita asilika na sumu humfanya mtu kuwa na kiburi ,jeuri ,udiktete,majivuno kukosa vita lity, matatizo ya akili,na maradhi ya tokanayo na sayari hii.
       Sayari hii hutawala nyota ya simba au leo ni kwa watu walio zaliwa tarehe julai 23 mpaka agost 22 au watu walio zaliwa tarehe 1au 10,19au 28 ya mwezi wowotw au mtu aliye zaliwa januari mwezi wowote na watu wenye sura na maumbo ya simba au mtu mwenye mlima mkubwa chini ya kidole pete au kidole baada ya kidole kidogo au mtu mwenye alama nzuri ndani ya mlima huu. Hii zi ni sifa za watu wa sayari hii
    Pia hata mtu wa sayari nyingine hupata faida au hasara za sayari hii ikiwa sayari rafiki itakupa faida ikiwa sayari adui itakudhuru sehemu husika katika uwadui wenu.inategemea na uhusiano na sayari hii  kinyota.

                                       UHUSIANU WASAYARIHII YA JUA NA SAYARI NYINGINE
          Sun marafiki ni ; moon humpa manufaa ya utajiri capital nzuri mama  kuu imalika ktk mapenzi na      
                                   mahusiano mtu kufanya biashara ya vinywaji na chakula na hotelia nguvu au kupata m                               faida na wanawake kuwa kiongozi.
                               2;mars;ujasili mali watoto,kumiliki,nguvu, haraka kufanyikiwa kumpa bahati katika famili
                                 na ndugu na hutoa nguvu ya kuliendesha jeshi dola au famili.
                               3;jupiter;huleta amani bahati hukumu nzuri mafanikio makuhani wadini kupata na utulivu
                                   katika kazi biashara ,ndoa pia niwakati wa mafanyikio na kupata kazi.
  Sun maadui ni    1;venus kuvurugika kwa ndoa mke kuugua au wanandoa kusalitiana baba kwa na mke
                             mwingine au hawara nje sanaa kuanguka na biashara kukamwa ngono kuongezeka mke
                             kuchukiwa na ndugu na pesa kupotea.
                           2;Saturn;kuanguka kwa dola au kiongozi mkuu kufilisika kupoteza malengo yako ya
                              baadaye na kufukuzwa kazi na kudhoofu mtaji madeni pia na ahadi nyingi kushunda kut
                              imizwa.
                            3;Rahu au neptune huendeleza sumu ya sartun nahufanya dola kupinduliwa au mfalme kuf
                                au kuumwa au kutete leka au kufukuzwa kazi kukimbia kesi au kuugua akili na kufiwa
                                 na wazee hasa mama mjomba bibi au babu au baba au shangazi
 Sun katikwakati  1;Mercury huumpa nguvu naa umaarufu kufaulu eimu na busara pia humpa maradhi ya k
                              inyota. husika.kama moyo nk
                           2;Kethu au pluto humpa nguvu ujasili na maarifa ya uuongozi na utafutaji pia huumpa mpen
                              au ndoa mpya.
            
                                                   MARADHI YA SAYARI HII
Maradhi ya sayari hii ya jua ni;Moyo macho kwa wanaume mzunguko wa damu ,kamba spinal,mwili kwa ujumla kiharusi ,uso,mifupa kansa,ubongo na damu na msongo wa mawazo kuongezeka kwa dosha pita na kupungua kwa dosha vata na kapha ktk mwili wako Elimu hii ya dosha ya sayari ya jua itakuja ktk masomo mengine.
                                          Madini ya sun ni;dhahabu               
                                                      Mafusho yake ni sandarusi
                                                               Siku yake ni jumapili mchana au jumatano usiku
                                                                      Rangi yake ni kahawia,machungwa,gold
                                                                          jiwe lake ni Ruby
                                                                              Namba yake ni 1,10,19,24
                                                                             Maombi yake ni ya hayuu yaa kayum
                                                                                ktk ukristo baba yetu uliye mbinguni
                                                                                  uhindu om kreem suryae namah

                         By Sheikh Kassim shirazy








             



Saturday 20 April 2013

SAYARI TISA NDANI YA MAISHA YENU

 Sayari ni mfumo mama wa nyota zote au matabaka yote ya nyota tuamini binaadamu ni sora syestem yani ni mfumo wa jua na sayari zake kwahio banadamu ni mfumo kamili wa soler system katika elimu ya sayari tuna pata sayari tisa saba kubwa na mbili ni matawi ya kisini na kaskazini mwajua.(1)Nazo ni jua{SUN}au surya au shamsi.Sayari hii ni baba ktk sayari zote 9 na huwakilisha ufalme utajiri kiburi ukubwa utashi mkubwa wa nchi au familia asili yake ni moto rangi ni ya orange au nyekundu isiyo iva na rangi ya dhahabu jiwe lake ni hakiki na madini yake ni dhahabu na mafusho yake ni sandarusi na siku yake ni jumapili.Soma zaidi ktk nakala ya sayari ya SUN.2.Pia kuna sayari ya MOONau mwezi au chandra au qamaria nisayari mama katika unajimu huwakilisha malkia mama akili hisia nyumba faraja ya ndani,bahari,mziwa,nasekta ya bahari na mahoteli,nguo,sayari hii ni baridi na tulivu na asli ni maji na rangi yake ni nyeupe mafusho yake ni meupe na siku yake ni juma tatu.madini yake ni fedha na jiwe lake ni lulu soma zaidi kwenye mada ya MOON.3.Sayari nyingine ni MARS au marihi au manglasayari hii ni moto mwekundu nisayari kali katika sayari zote pia ni sayri za vurugu huwakilisha ujasili mdogo ndugu na dada  vikosi vya silaha kesi vurugu polisi makamanda wanaume katika nafasi ya juu,uhandisi metal,mawakala wamaji yasiyo hamishika rangi yake ni nyekundu madini yake ni shaba nyekundu au chuma jiwe lake ni matumbawe siku  yake ni jumanne mafusho yake ni kisti  .4.Sayari yaMERCURY au ataridia au sumbula au budha.Nisayari inayohusika na akili maarifa hotuba sayansi na teknolojia na elimu namatibabu wajomba na wajawazito.sayari yake ni ya kijani siku yake jumatano mafusho yake ni kachili na madini yake ni shaba jawe lake ni zamaridi.5.Sayari ya JUPITER aumushtaria au baharaspati au guru.Nisayari inayo husiana na amani utulivu makuhani wa dini imani amitume na wanazuoni wa dini mahekalu na misikiti utafiti wa sayansi na matabaka ya majaji.rangi yake ni manjano au pinki au nyeupe au zambalau madini ni fedha au dhahabu jiwe lake ni yakuti ya njano.Mafusho yake ni kafruu na siku yake ni alhamisi soma zaidi kwenye sayari ya jupiter.6.VENUS au zuhura au shukra  ni sayari yainayo wakilisha hisia za mapenzi wanawake mke urembo ndoa mahusiano urafiki ngono sanaa muziki pesa baa maeneo ya kamari na bahati nasibu.rangi yake ni kijani kibichi ,nyeupe,madini yake ni shaba ya njano na fedha mafusho yake ni mushtakaa na jiwe lake ni almasi.siku yake ni ijumaa.7.SARTURN au zohari au shani ni sayari inayo husiana na kazi ngumu huzuni kukata tamaa vikwazo giza uchawi kutokukamilika ubaya wazee watumishi wangazi za chini manispaa maji taka ,Rangi yake ni bluu iliyo koza na nyeusi na kijivu madini yake ni chuma jiwe lake ni bluu ya kuti mafusho yake ni miatsaila au ambari nyeusi siku yake ni jumamosi.8.RAHU au kichwa au dragoni head node amerka.Ina wakilisha wageni nje ya nchi ,safari za nje,uhandisi na biashara za ufundi na moshi wazee na wahenga wizi kamari na kunywa na mambo mabaya.Rangi yake ni nyeusi madini yake ni chuma au bati madini yake ni gomethi haina siku maalum japo hukaa na jua na tabia ya satani mafusho ni ambari.9.Sayari ya KETHU au dhambi audragoni  tail afrika node inawakilisha wazee pia inafanya biashara ya kiufundi ushirikina na umeme rangi yake ni udongo au kahawia jiwe lake ni cat eyes madini ni bati au chuma mafusho yake ni kist au miatsaila haina siku maalum ila ni watoto wa sun na moon japo tabia ni ya satarn na mars.Elimu hii ni sayansi tosha lakani tumeiongelea kwa ufupi. ilatutakuwa tuna waletaa makala ya kila sayari na nyota

UNAJIMU{ASTROLOGY} MAANA

Unajimu nielimu ya sayansi inayo husiana na anga na viumbe hai. Elimu hii hukubalika na watafiti wa najum huweza kueleza mfumo mzima wa maisha yetu na anga kwa ujumla.Pia hutupa nguvu na uwezo wakutatua matatizo yetu .Elimu hii kwa kisanskiti huitwa JYOTISHA yaani ni mwanga wa miguni ndani ya maisha au mwili wetu. elimu hii imegawanyika katika makundi mbalimbali ambaayo ndani ya blogi hii utayapata na utajifunza mambo mbalimbali ya husianayo na nyota kiujumla.tutajifunza jinsi ya kutabiri mambo mbalimbali ikiwapo zodic mundane horaly siri ya viganja vyennu sayari rangi madini maumbo tiba za kinyota nk